Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi Matokeo ya Kidato cha Sita (ACSEE) 2025 tarehe 7 Julai 2025, ambapo ufaulu wa kitaifa umefikia zaidi ya asilimia 99.95%. Katika matokeo hayo, shule kadhaa zimeonyesha kiwango cha juu cha ufaulu kwa mujibu wa wastani wa GPA.
Ifuatayo ni orodha ya shule 10 bora kitaifa kwa mujibu wa GPA ndogo (bora zaidi):
Jedwali la Shule 10 Bora Kitaifa – Kidato cha Sita 2025
| Nafasi | Jina la Shule | Wastani wa GPA |
|---|---|---|
| 1 | Kemebos Secondary | 1.2776 |
| 2 | Tabora Boys’ Secondary | 1.3745 |
| 3 | St. Mary’s Mazinde Juu | 1.3994 |
| 4 | Kibaha Secondary | 1.4011 |
| 5 | Ahmes Secondary | 1.4105 |
| 6 | Marian Boys’ Secondary | 1.5746 |
| 7 | Mzumbe Secondary | 1.6018 |
| 8 | Feza Boys’ Secondary | 1.6728 |
| 9 | Sengerema Secondary | 1.7763 |
| 10 | Tabora Girls’ Secondary | 1.8265 |
Linki za matokeo ya shule tajwa hapo juu;
| Shule | Link ya Matokeo NECTA |
|---|---|
| Kemebos Secondary | Bofya hapa |
| Tabora Boys’ Secondary | Bofya hapa |
| St. Mary’s Mazinde Juu | Bofya hapa |
| Kibaha Secondary | Bofya hapa |
| Ahmes Secondary | Bofya hapa |
| Marian Boys’ Secondary | Bofya hapa |
| Mzumbe Secondary | Bofya hapa |
| Feza Boys’ Secondary | Bofya hapa |
| Sengerema Secondary | Bofya hapa |
| Tabora Girls’ Secondary | Bofya hapa |
Muhtasari wa Kitaifa (Ufaulu)
- Jumla ya watahiniwa waliofanya mtihani: 125,843
- Watahiniwa waliofaulu: 125,779 (asilimia 99.95%)
- Watahiniwa waliobainika na udanganyifu na matokeo yao kufutwa: 71
- Chanzo rasmi: Dkt. Said Mohamed, Katibu Mtendaji – NECTA
Jinsi ya Kuangalia Matokeo Yako ya Kidato cha Sita 2025
Ili kuona matokeo ya shule au mwanafunzi mmoja mmoja:
Bonyeza hapa: MATOKEO KIDATO CHA SITA 2025 YA JUMLA
Mapendekezo ya Mhariri;
- Mwongozi Kamili wa Kuomba Mkopo wa Wanafunzi 2025
- Jinsi ya kuomba (Kutuma) Maombi) Mkopo ya Mkopo HESLB 2025
- Mwisho wa Kutuma Maombi ya Mkopo 2025
- Dirisha Maombi ya mkopo Elimu ya Juu 2025
- Jinsi ya Kutuma Maombi UDSM
- Jinsi ya Kutuma Maombi MUHAS
- Jinsi ya Kutuma Maombi SJUT
- Jinsi ya Kutuma Maombi BUGANDO
Hitimisho
Matokeo haya ni kiashiria cha juhudi kubwa zinazowekwa na walimu, wanafunzi na wadau wa elimu nchini. Hongera kwa shule zote zilizofanya vizuri! Endeleeni kuinua viwango vya elimu.

